WILAYA YA KITETO WAMETEKELEZA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA KWA KUJENGA GHALA
MKUTANO WA WADAU SIMANJIRO WAJADILI MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
TUZO YA UTENDAJI MZURI WA UTOAJI HUDUMA MSHINDI WA PILI NI BODI YA STAKABADHI ZA GHALA (WRRB)
MIFUGO KUINGIA KATIKA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA
Mkurugenzi Mtendaji Bw Asangye Bangu akizungumza katika kikao cha Wadau wa Ufuta mkoa wa Songwe.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo(Mb) akipatiwa taarifa fupi na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Ndg.Asangye Bangu kuhusu Mfumo wa Stakabadhi za Ghala Kidigitali Aprili 11,2025. Mkoani Tanga.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizundua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akiangalia mfumo unavyofanya kazi mara baada ya kuzindua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma
Waziri mkuu wa Tanzania, Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa akihutubia wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika tarehe 12 Mei 2024 katika ghala la KYECU wilayani Kyela,Mbeya.
Bodi ya Stakabadhi za Ghala ni taasisi iliyochini ya wizara ya viwanda na biashara. Taasisi hii ilianzishwa chini ya Warehouse Receipts Act No. 10 ya mwaka 2005 na Act No 3 ya 2015 iliyorekebishwa 2016. Kazi ya taasisi ni kusimamia na kuhamasisha matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani unaohakikisha...