Mkuu wa Mkoa wa songwe Mhe, Daniel Chongolo akizungumza katika kikao cha wadau wa zao la ufuta mkoani hapo.
Mkurugenzi Mtendaji Bw Asangye Bangu akizungumza katika kikao cha Wadau wa Ufuta mkoa wa Songwe.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe.Dkt.Selemani Jafo(Mb) akipatiwa taarifa fupi na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Ndg.Asangye Bangu kuhusu Mfumo wa Stakabadhi za Ghala Kidigitali Aprili 11,2025. Mkoani Tanga.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda,Biashara,Kilimo, Mifugo ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Deodatus Mwanyika ikitembelea na kupata maelezo mafupi kuhusu utendaji kazi wa Mfumo wa Stakabadhi Ghalani katika Ghala la Mboje Mkoani Shinyanga Machi 13,2025.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizundua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akiangalia mfumo unavyofanya kazi mara baada ya kuzindua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma
Waziri mkuu wa Tanzania, Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa akihutubia wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika tarehe 12 Mei 2024 katika ghala la KYECU wilayani Kyela,Mbeya.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kakao na mmiliki wa Gari na NYumba aliyenufaika na ngezeko la bei kutokana na matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala wakati wa ziara Wilayani Kyela.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kakao na mmiliki wa Pikipiki aliyenufaika na ongezeko la bei kutokana na matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala wakati wa ziara Wilayani Kyela.