WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akizundua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma.
WAZIRI wa Viwanda na Biashara,Mhe.Dkt.Selemani Jafo,akiangalia mfumo unavyofanya kazi mara baada ya kuzindua Mfumo wa kutumia kamera za kidijitali na stika ya utambuzi wa ghala,hafla iliyofanyika leo Januari 31,2025 jijini Dodoma
Waziri mkuu wa Tanzania, Mh.Kassim Majaliwa Majaliwa akihutubia wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika tarehe 12 Mei 2024 katika ghala la KYECU wilayani Kyela,Mbeya.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kakao na mmiliki wa Gari na NYumba aliyenufaika na ngezeko la bei kutokana na matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala wakati wa ziara Wilayani Kyela.
Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe.Kassim Majaliwa Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kakao na mmiliki wa Pikipiki aliyenufaika na ongezeko la bei kutokana na matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala wakati wa ziara Wilayani Kyela.
Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania akikagua matunda ya Kakao katika moja ya shamba wakati wa ziara Walayani Kyela.
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Amos Makalla akisalimu wajumbe waliohudhuria kikao cha wadau kujadili maandalizi ya mauzo ya Choroko na Dengu kwa kutumia mfumo wa stakabadhi za ghala msimu 2024
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt.Hashil Abdallah akikagua ghala la Chihonda lililopo Wilayani Masasi Mkoani Mtwara
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Biashara, Wizara ya Viwanda na Biashara Dkt. Hanifa Mohamed pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) Ndg.Asangye Bangu wakipokea taarifa ya utekelezaji wa mfumo wa Stakabadhi za Ghala kwa mazao ya korosho na Ufuta msimu wa 2023/2024 kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Mhe.Khadija Nasri katika Ofisi za Mkuu wa Wilaya hiyo Januari 04,2024.
Leo tarehe 1 Septemba 2023 Naibu Waziri wa viwanda na biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amefunga mafunzo ya watendaji wa ghala yaliyofanyika katika ukumbi wa Kilimanjaro uliopo viwanja vya sabasaba jijini Dar es Salaam.
Bodi ya Stakabadhi za Ghala ni taasisi iliyochini ya wizara ya viwanda na biashara. Taasisi hii ilianzishwa chini ya Warehouse Receipts Act No. 10 ya mwaka 2005 na Act No 3 ya 2015 iliyorekebishwa 2016. Kazi ya taasisi ni kusimamia na kuhamasisha matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani unaohakikisha...