Leo tarehe 25/01/2023, Mhe.Anthony John Mtaka - Mkuu wa Mkoa wa Njombe amekutana na Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Bw.Asangye Bangu na kujadili juu ya Kuingiza mazao madogo madogo ambayo yalikuwa hayatumii Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, Mazao hayo ni Parachichi, Viazi na Mahindi.
Tarehe 24/01/2023, Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Bw.Asangye Bangu amefanya ziara Mkoani Njombe kukagua miundombinu ya Ghala katika viwanda kwenye viwanda vya kuchakata zao la Chai.
Kufuatia Maelekezo ya Mhe. Hussein Mohamed Bashe (Mb) - Waziri wa Kilimo aliyotoa tarehe 18/01/2023 juu ya zao la Chai kuingizwa kwenye Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, Tarehe 24/01/2023 Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Bw.Asangye Bangu amefanya ziara Mkoani Njombe kukagua miundombinu ya Ghala katika viwanda kwenye viwanda vya kuchakata zao la Chai.
Kufuatia Maelekezo ya Mhe. Hussein Mohamed Bashe (Mb) - Waziri wa Kilimo aliyotoa tarehe 18/01/2023 juu ya zao la Chai kuingizwa kwenye Mfumo wa Stakabadhi za Ghala, Tarehe 24/01/2023 Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala Bw.Asangye Bangu amefanya ziara Mkoani Njombe kukagua miundombinu ya Ghala katika viwanda kwenye viwanda vya kuchakata zao la Chai.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) azindua Bodi ya Wakurugenzi ya WRRB.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) azindua Bodi ya Wakurugenzi ya WRRB.
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) azindua Bodi ya Wakurugenzi ya WRRB.
UTIAJI SAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA KUFANYA KAZI PAMOJA KATI YA NIC INSURANCE NA WRRB.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) Ndugu. Asangye Bangu na Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Insurance Dkt. Elirehema Doriye , wakitia saini mikataba ya makubaliano ya kufanya kazi pamoja katika kutoa huduma za Bima.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) Ndugu. Asangye Bangu na Mkurugenzi Mtendaji waNIC Insurance Dkt. Elirehema Doriye , wakitia saini mikataba ya makubaliano ya kufanya kazi pamoja katika kutoa huduma za Bima.
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe.Dunstan Kyobya afunga rasmi mafunzo ya Waendesha Ghala yaliyoratibiwa na WRRB, Na kuwakabidhi vyeti vya kuhitimu kwa waendesha Ghala wote waliyoshiriki mafunzo hayo. Aidha mafunzo hayo yalifanyika kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 24 hadi 26 Septemba 2022. Mkoani Mtwara kwenye chuo cha STEMMUCO Mtwara.
Bodi ya Stakabadhi za Ghala ni taasisi iliyochini ya wizara ya viwanda na biashara. Taasisi hii ilianzishwa chini ya Warehouse Receipts Act No. 10 ya mwaka 2005 na Act No 3 ya 2015 iliyorekebishwa 2016. Kazi ya taasisi ni kusimamia na kuhamasisha matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani unaohakikisha...